Jeshi la Polisi wilayani Mafia laagizwa kumsaka na kumtia mbaroni Bwana Dickson Paul kwa kumiliki zahanati bila vibali

Na Barnabas Kisengi, Mafia Januari 14, 2021 NAIBU Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Omary Juma Kipanga ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya ya Mafia Mkoani Pwani kumsaka na kumtia Mbaroni Bwana Dickson Paul mmiliki ambaye amefungua Zahanati bila kufuata Sheria na Taratibu zinazotakiwa. Kipanga ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Mafia ametoa agizo hilo